Watano wafariki helikopta ikianguka mlima Kilimanjaro

Ajali hiyo imetokea Jumatano ya Desemba 24 , katika eneo lililopo kati ya kilele cha Kibo na Barafu Camp, moja ya njia zinazotumiwa sana na watalii wapandaji wa mlima huo mrefu barani Afrika.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *